Comparison. Mishahara ya madaktari Ke vs Madaktari Tanzania

Aisee! Umetoka kwa cholera ukaenda kwa HIV? Kuishiwa nako 😥
 
Toxoplasmosis ndo parasite gani wewe? Unanipinga na hakuna unachojua. There are two ways in which cancer arises, one is carcinogenic means and the other is spontaneous means. Because you asked me about the agent that causes brain cancer, which falls under carcinogenic means, then ni Toxoplasma gondii. Hungeongeza the word agent kwa swali lako ningekuambia ni spontaneous. It's the parasite that manipulates cells proliferation and apoptosis by injecting its protein that alters cell micro RNA.
 
Aisee! Umetoka kwa cholera ukaenda kwa HIV? Kuishiwa nako [emoji26]
Cholera imemshinda huyo Nyang'au. Nimemuuliza pathogenesis anaanza kuniletea how cholera is transmitted, nilitaka kujua pathogenesis ili nimuulize types of electrolytes zinazopote wakati wa vomiting and diarrhea, then ningemuuliza types of infusions used to treat cholera patients. Ameshindwa kujibu ananiletea habari ya vector, hahahahaha, hahahahaha, hahahahaha.
 
Acha walipwe maana hawana tofauti na wafanyakazi wa UN,kila siku mabomu unadhani ni rahisi kuishi kwenye nchi ya namna hiyo? Tz amani tu.
 
Hapa ndio usipime, halafu madaktari wao wachache ukiangalia uwiano wa madaktari kwa idadi ya Watanzania, madaktari wao wanasota mtaani hadi kuna kipindi wangeajiriwa Kenya sema siasa ziliingilia kati.
Jameni umaskini hutesa.
pumba!!
 
Hata siku moja Toxoplasma gondii hajawahi kuwa carcinogenic, wala hasababishi brain cancer, badala yake anasababisha brain tumor which is purely benign tumor.

Toxoplasma akifika katika brain, kamwe hashughuliki na brain cells, anachofanya ni kutumia damu na nutrients kujilishe ili aweze kukua na kuwa mkubwa, actually Toxoplasma gondii is the Ginger infestation of the brain.

Toxoplasma in the brain is well capsulated like ginger in your toe and finger, symptoms of Toxoplasmosis are those of increased intercranial pressure only.
Never in the Earth Toxoplasma gondii hajawahi kuwa carcinogenic, kama una ushahidi tuwekee watu wote waone hapa hadharani.

Hahahahaha, hahahahaha, hahahahaha
 
You don't know what you are talking about. It's the Toxoplasma's infection that makes brain cell proliferation. It's this uncontrollable proliferation that brings about both benign and malignant tumor. Malignant tumor is the one that's is responsible cancer infection in the brain.
 
Naomba tofauti kati ya RNA na DNA,

RNA= Ribonucleic Acid
DNA = Deoxyribonucleic Acid

Tofauti kati ya hizo mbili ni kitu gani?
DNA double stranded RNA single stranded.
DNA has adenine-thymine base RNA has adenine - uracil base.
 
Please give us any article or link which shows that Toxoplasma infestation can cause cancer. Ukinipa huu ushahidi nitakusamehe hata lile swali la ARVs.

I will assume that you know each and everything about HIV and ARVs. Kwa kifupi ukileta ushahidi kwamba Toxoplasma gondii anasababisha cancer, then nitaamini kwamba
1)Kenyans doctors are the best
2)Kenyan Hospitals are the best
3)KDF is the best
4)Uhuru Kenyatta is the best
5)Magufuli is the worst
6)Dar es Salaam is full of slums
7) Tanzania can't build its SGR from its own money

Hahahahaha, hahahahaha, hahahahaha.
 
DNA double stranded RNA single stranded.
DNA has adenine-thymine base RNA has adenine - uracil base.
That is structural difference, please be more professional katika kujibu maswali, kwa nini unatumia nguvu kubwa kwa basic question?, No wonder mnatumia budget ya $1B katika ulizi kupambana na Alshabab ambao budget yao haifiki $1M.
 
https://www.ncbi.nlm.nih.gov/m/pubmed/23391314/ I know you won't read it.
 
Hahahahaha, the article reads, " Possible role of Toxoplasma gondii in causing cancer".

1) This is a research which needs to go through many steps before it became hypothesis.
2) From hypothesis if approved will be a law.
3) If approved by WHO then it can be regarded as one of the cause of cancer

Kitu kinachonishangaza, hata katika hii article wanasema "Possible role", hawajasema kwamba Toxoplasmosis cause brain cancer.

Please bado tunasubiri link inayosema " Toxoplasma gondii causes brain cancer", Or Toxoplasma gondii is a carcinogenic.
 
Because you have only read the abstract. That's why I said hutasoma. Soma the whole article.
 
Because you have only read the abstract. That's why I said hutasoma. Soma the whole article.
Hata kama itasema kwamba Toxoplasma gondii is carcinogenic, bado huwezi kutumika kama ushahidi kwasababu haijawahi approved na WHO. Kwahiyo huu ushahidi haukubaliki.
 
Hata kama itasema kwamba Toxoplasma gondii is carcinogenic, bado huwezi kutumika kama ushahidi kwasababu haijawahi approved na WHO. Kwahiyo huu ushahidi haukubaliki.
Oooh, ona sasa disadvantage of using google. If you knew the genes participating in cancer formation and how they work hungepinga hiyo research. It's a research conducted by CDC so you have no reason to dispute it. They have clearly explained how T.gondii is causing cancer by inhibiting apoptosis and enhancing proliferation of brain cells.
 
Acha upoyoyo wewe, kuna sheria na kanuni za kimataifa ambazo zimewekwa ili kudhibiti matumizi ya hizo research, hata kama nitakubaliana na hiyo research, lakini kama haijawa proved na WHO haiwezi kutumika katika maeneo mengine yoyote Yale zaidi ya kwenye research tu, ndio sababu hii research imewekwa katika Medical Journal, not for General public.

Point ni kwamba, inawezekana walichoandika kikawa na uhasilia au ukweli, lakini bado kunahitajika research zingine nyingi zifanyike ili kuprove kama kweli hicho kilichoandikwa ni kweli, then WHO will approve na kuruhusu kifundishe katika shule na vyuo mbali mbali, ila kwasasa hicho kitu kiko katika hata za awali.

Kwasasa hivi ukijibu katika mtihani kwamba Toxoplasma gondii ni carcinogenic wanakufelisha. Ninarudia, kwasababu hijapitishwa na WHO, huu ushahidi haukubaliki hata kama kuna ukweli kiasi gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…