Ni sawa mkiwadharau wataalamu wetu wa afya, kwetu ndo hao wanatuhudumia na tunapona magonjwa yetu! Na tunawapenda sana madaktari wetu ambao kwenu ni ma-nurse
Living dead wewe pamoja na mama yako mzazTatizo hakuna kitu unachoelewa hata kidogo, you're a living dead.
Living dead wewe pamoja na mama yako mzaz
Shule yako ndogo sana ,tafuta mwenye upeo wa kuku mwenzio mjadiliHahaha a furious bongolala witch is now spitting insults.
Shule yako ndogo sana ,tafuta mwenye upeo wa kuku mwenzio mjadili
Haya maneno angeongea specialist sawa sio wewe microbiologists huna tofauti na laymanMy education quality is thrice yours that's why you can't understand anything about cholera agent which are serotype 01 and 0139.
Haya maneno angeongea specialist sawa sio wewe microbiologists huna tofauti na layman
Hivi unadhan mapato ya got ni tra pekee?
Alafu jiulize ,mbali na sgr inayokunyima usingizi,barabara za billions of money zinajengwa sehemu mbali mbali, juzi wametoa tshs trillion 1.7 kuanza stiglers gorge,kama hyo haitoshi miradi ya maji ,kununua madawa na kujenga majengo mbalimbali ya serikali na bado kuna mishahara ambapo kila mwezi sio chini ya 660B zinatumikaMara ya mwisho niliona kodi zinachangia 87.1% ya mapato ya GoT, kwa hivyo hizo zingine haziwezi kukidhi matrilioni ya kujenga reli kwa pesa ya ndani.
Unajua wanaonaga just because haiwezekani kule kwao basi wanazani na huku pia haiwezekani [emoji23][emoji23][emoji23]Alafu jiulize ,mbali na sgr inayokunyima usingizi,barabara za billions of money zinajengwa sehemu mbali mbali, juzi wametoa tshs trillion 1.7 kuanza stiglers gorge,kama hyo haitoshi miradi ya maji ,kununua madawa na kujenga majengo mbalimbali ya serikali na bado kuna mishahara ambapo kila mwezi sio chini ya 660B zinatumika
Usisahau Tanzania huwa inapewa grands and donations annually for their projects.Alafu jiulize ,mbali na sgr inayokunyima usingizi,barabara za billions of money zinajengwa sehemu mbali mbali, juzi wametoa tshs trillion 1.7 kuanza stiglers gorge,kama hyo haitoshi miradi ya maji ,kununua madawa na kujenga majengo mbalimbali ya serikali na bado kuna mishahara ambapo kila mwezi sio chini ya 660B zinatumika
"Cost of living" nayo ni tofauti sana kati ya mfanyakazi wa TZ na KE. Mshahara wa TZ huwezi mudu maisha KE kwa sababu ya tofauti za gharama za maishaKENYAN Doctors per month
Top earner KSh582,954(Tsh 13,288,054)
Lowest-paid doctor (intern) earn KSh206,989(Tsh 4,718,178)
TANZANIAN Doctors per month
Highest paid doctor Tsh 2,900,114(Ksh 127,003)
Nimekosa ya lowest paid Tz Doctor. But nimeona mahali average ni Tsh1.48 million(Ksh 65,000)
Kwa kifupi intern Kenya analipwa zaidi ya medical director TZ
Anyway feel free to correct me
Hilo ni kwel,lakin misaada imepungua mno ndio maana hata mishahara imesimama huu mwaka wa nne haujaongezwa...tunaumia kimyakimyaUsisahau Tanzania huwa inapewa grands and donations annually for their projects.
So most projects you are undertaking are grands and donations. Some are funded by other nations not Tz.Hilo ni kwel,lakin misaada imepungua mno ndio maana hata mishahara imesimama huu mwaka wa nne haujaongezwa...tunaumia kimyakimya
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Alafu jiulize ,mbali na sgr inayokunyima usingizi,barabara za billions of money zinajengwa sehemu mbali mbali, juzi wametoa tshs trillion 1.7 kuanza stiglers gorge,kama hyo haitoshi miradi ya maji ,kununua madawa na kujenga majengo mbalimbali ya serikali na bado kuna mishahara ambapo kila mwezi sio chini ya 660B zinatumika