mkuu kweli hapo nyumbani lounge ni bomu kichizi wana customer service ya hovyo,nilikuwepo hapo mwezi jana nilikuwa mjini hapo nikasema nitembelee nikiwa na wenzangu watano , maeneo,managress wa pale ana majibu ya hovyo na hajui hata kuongea na wateja,nilibishana naye, nilikaa pale huduma ya kinywaji ikachelewa nikaasema kwa nini nikae tu wakati kaunta na iona kwenda kaunta pale akaja anasema siruhusiwi kusimama pale kaunta kununua kinywaji nikamwuliza kisa nini?akasema hapa umeziba njia ya kuingia ndani (kaunta)nikamwambia mimi nanunua kinywaji naondoka nimekaa kule! nikaona anakazania hilo hilo angekuwa managress mzuri anagechukua hela yangu akanihudumia pale nikaondoka ndo ingekuwa njia nzuri ya kunitoa pale,basi nikamwona mbona anasema kwa ukali nikamwambia backoff,nikaondoka eti akawambia wahudumu wasinihudumie,sasa sababu nilikuwa na wenzangu nikaona nisije haribu starehe za wengine kwa kusema tuondoke ,ikabidi wenzangu wawe wana agiza ,pale sikanyagi tena na sishauri mtu kwenda pale,nilijaribu kuwasiliana na mwenye ukumbi ila na yeye zero tu haku respond kwa hiyo kama ni customer service rating wale ni big 0