mhenga gani kijana? Huyo kama ulisikia usiwe kama Mrafi ndio huyo
Muhenga aliyesema Mwili haujengwi kwa Matofali.
Huyo kaenda umri kajipondoa tumhenga gani kijana? Huyo ni mrafi
duh af bado mtu anakataa kuwa binadamu alikuwa nanihii!!!!!!
Huyo ni mshenga gani alie sema hayo maneno mkuu?!
!
Nimevutika na aina ya simu yako tu. Naikubali sana hii simu na ndio ninayokomentia hapa sema situmii app niko kwa chrome
Sawa
Mbavu zangu
Muhenga aliyesema ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji
Bwakyakya hahahView attachment 539631 jino moja mswaki wa nini
Mshana hapa nmecheka sana