Hahahaha, uko vizuri mkuu
sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
Yaani umemaanisha mosquito mosquito mosquito [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]na huyu ndio mhenga aliewaita wanachama na washabiki wa timu 1 ya mpira wa miguu pale k`koo mbu mbu mbu
Sent from my LG-D858HK using JamiiForums mobile app
Mkuu huyu ndiye yule aliyetoka safari ya mbali akiwa kavimba mapaja?
Muhenga aliyesema mkitaka mali mtaipata shambani.
Asali iko wapi?Bhana usitusumbue hapa kwan wao walivyokwambia fuata nyuki ule asali walikuwa wajinga?
nasubiri wahenga watoe tamko kuhusu kubeti
muhenga aliyetoa hilo tamko ana ubia na muhindiPainamapo ndio painukapo
Hakuna ujinga mkubwa kama kuamini wewe si mjinga ikiwa unasifa za wajingaPombe si chai