Wapime kohozi kabisa
Huyu ndo aliyesema 'fahari ya macho haifilisi duka'
Nawe umewahi kuiquote mi nshaifuta msala wako huo[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Shauri yako siku hizi sio coco beach tena... Tanganyikaaa
hahaha ....dah
Muhenga aliyesema mkitaka mali mtaipata shambani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we jamaa bwn
[emoji23] [emoji23] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]mzee baba mshana umetisha kwa nyuzi kali, tuwaombe jf wakutoe kama expert wakupandishe adi golden member. heshima kwako mkuu huwa unafanya majukwaa yanachangamka sn.
Naijuliza tu hivi aliepiga hii picha kwa nyuma bado yuko uraiani?
Mhenga aliyesema "chombo cha kuzama hakina usukani"