Computer engineering...!!!

Computer engineering...!!!

Freeman Patrick

Senior Member
Joined
Jul 10, 2012
Posts
132
Reaction score
13
Wadau habari zenu? Naomba kufahamu kuhusu computer engineering, inadeal na nini na soko la ajira hapa tanzania na east africa as a whole! Nakaribisha maoni yenu bila kusahau wale wa ropokaji. Thanks in advance!!!
 
CIT nzuri, ajira zipo kiasi. Piga msuli. Matokeo ya mwisho ni muhimu. Umechag ulwa wap dogo? Kama ud. Itabidi unibebe
 
Ha ha.. Sawa sawa mkuu, sasa naweza fanya kazi sehemu zipi? Na kazi yangu ni km ipi?
 
unaweza fanya kazi kama consultants, ukawa unadesign network system ya majumba makubwa. unaweza ukawa IT wa makampuni mbali mbali ka tanesco, tbl, mgodini, maofisini. unaweza ukawa ajiriwa katika makampuni ya simu kumonitor system zao. yani madude ni mengi dogo
 
dunia 2liyopo sasa hapo ndo mahala pake,komaa2 na hyo miaka yako 4.kaz badae:baby::baby:
 
Above all unaweza kuwa fundi saa wa digitali...kwanini usisome civil au archtecture?
 
Ha ha ha... Kweli ww ni muskeli, na haujui chochote kuhusu computer engineering, nilifikiri huku ni great thinkers, kumbe hata **** thinkers mpo! Kweli kwenye mamba kenge pia hawakosekani.
 
Computer engineering,ukishasema engineering jiandae na designing za database,computer networks(Networking),Security,software engineering.Kama ni computer negineering and IT,hapa ujiandae kusoma course za telecom ingawa wengi huwa wanazikimbia.Ajira inategemea ukitoka chuo utakuwa na nini kichwani baada ya kusahau ulivyofundishwa,ila zipo nyingi ila mshahara inategemea na kampuni,ukifanya kwenye kampuni la telecom au ISP au linalohusika na IT utalipwa vizuri ila ukifanya kwa kampuni za kawaida ambazo core business yao si mambo ya IT ila IT inawasaidia kurahisisha kazi story itakuwa tofauti from one company to another.Unatakiwa uwe mtu ambaye unapenda kusoma,kujifunza vitu vipya,kama wewe ni mvivu wa kusoma opt kwingine coz technologia inabadilika dairly.
 
Thanks to u Aqua, u are the great thinker we need, honestly me ni mtu wa kujifunza every now and then... Hope itanifaa b'coz i love technology and i'll be committed to what i do!
 
Axante wadau kwa maoni yenu nimewapata fresh kuhuxu hii mambo cz hata mi ni mmoja wapo.
 
Back
Top Bottom