Computer graphic, photoshop, illustration, Logo design, printing, marketing

Computer graphic, photoshop, illustration, Logo design, printing, marketing

Petersaidia

Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
5
Reaction score
7
Nime soma course ya computer graphic miaka minne kutoka JWTZ Kama kuna mtu anatafuta kijana wa computer graphic anaye weza kutengeneza kama photoshop, photography, logo design, web design, app design, video director nipo hapa 4 years experience.

Lakini pia nina mafunzo ya ukamanda kutoka JWTZ kwa miaka 4 ambayo yanahusiana na

Nidhamu

Utiifu

Ujasiri

Uwezo wa kufanya kazi

Ukakamavu

Kujitolea

Uokoaji

Utayari



Nina miaka 22 tu ni mvulana nipo dar ninauwezo na nguvu za kufanya kazi yako kwa haraka na skillsfull kubwa na ninaweza kufanya kazi kwenye company, brand, project, business n.k

NOTE
Sichagui kazi weka Oda yako ya kazi hapa nikufuate inbox tuongee.
 
Nope kazi Niko vizuri na adobe Photoshop na Illustration Niko mwanza Nyegezi Kona/ op. Tema hotel 0784804033
 
Nime soma course ya computer graphic miaka minne kutoka JWTZ Kama kuna mtu anatafuta kijana wa computer graphic anaye weza kutengeneza kama photoshop, photography, logo design, web design, app design, video director nipo hapa 4 years experience.

Lakini pia nina mafunzo ya ukamanda kutoka JWTZ kwa miaka 4 ambayo yanahusiana na

Nidhamu

Utiifu

Ujasiri

Uwezo wa kufanya kazi

Ukakamavu

Kujitolea

Uokoaji

Utayari



Nina miaka 22 tu ni mvulana nipo dar ninauwezo na nguvu za kufanya kazi yako kwa haraka na skillsfull kubwa na ninaweza kufanya kazi kwenye company, brand, project, business n.k

NOTE
Sichagui kazi weka Oda yako ya kazi hapa nikufuate inbox tuongee.
Jwtz n chuo au je unataka ulinzi
 
Nime soma course ya computer graphic miaka minne kutoka JWTZ Kama kuna mtu anatafuta kijana wa computer graphic anaye weza kutengeneza kama photoshop, photography, logo design, web design, app design, video director nipo hapa 4 years experience.

Lakini pia nina mafunzo ya ukamanda kutoka JWTZ kwa miaka 4 ambayo yanahusiana na

Nidhamu

Utiifu

Ujasiri

Uwezo wa kufanya kazi

Ukakamavu

Kujitolea

Uokoaji

Utayari



Nina miaka 22 tu ni mvulana nipo dar ninauwezo na nguvu za kufanya kazi yako kwa haraka na skillsfull kubwa na ninaweza kufanya kazi kwenye company, brand, project, business n.k

NOTE
Sichagui kazi weka Oda yako ya kazi hapa nikufuate inbox tuongee.
Mdogo angu nakushaur lakini unaweza ukachukua au uka acha.....unaweza uka upload hata Moja ya sample za kazi yako watu waone.....
Kila lakhel
wasalaam
 
Lakini pia nina mafunzo ya ukamanda kutoka JWTZ kwa miaka 4 ambayo yanahusiana na

Nidhamu

Utiifu

Ujasiri

Uwezo wa kufanya kazi

Ukakamavu

Kujitolea

Uokoaji

Utayari
Ingia kwenye KAMPUNI za ulinzi
 
Ingia kwenye KAMPUNI za ulinzi
Si mshaur aende huko namkumbuka mzee mmoja aliwai kunambia kijana una umri Gani ...nikajibu...akanambia Kwa umri wako tafuta shamba panda miti.....
Nasikia kama saut inanambia Nimpe connection dogo ila tangu mwaka Jana Kuna madogo niliwapa connection wakaingiwa na Tamaa za kutajilika fasta fasta.....walifanya upigaji mkubwa tena Kwa maarifa ya Hali ya juu....
Still naamini Good people are still exist...
Currently nimepumzika kukingia vifua watu....
Hii Dunia bila connection unaweza uka angaika sanaa ....
 
Nasikia kama saut inanambia Nimpe connection dogo ila tangu mwaka Jana Kuna madogo niliwapa connection wakaingiwa na Tamaa za kutajilika fasta fasta.....walifanya upigaji mkubwa tena Kwa maarifa ya Hali ya juu....
Still naamini Good people are still exist...
Currently nimepumzika kukingia vifua watu....
Hii Dunia bila connection unaweza uka angaika sanaa ....
Emu elezea kwa kutulia hapa umenivuruga sijakuelewa kabisa kabisa
 
Si mshaur aende huko namkumbuka mzee mmoja aliwai kunambia kijana una umri Gani ...nikajibu...akanambia Kwa umri wako tafuta shamba panda miti.....
Panda miti umwambie huyu leo apande miti hio pesa ya kununua shamba la miti kule Iringa anayo? Pesa ya kulisimamia hilo shamba anayo? Sometimes tuwe tunawaza na kuona mbali

Amejifunza masuala ya ulinzi JWTZ na makampuni ya ulinzi kigezo namba moja ili upate kazi ni hicho, kwa hio km amepita JWTZ aende KAMPUNI yoyote ya ulinzi kazi anapata
 
Panda miti umwambie huyu leo apande miti hio pesa ya kununua shamba la miti kule Iringa anayo? Pesa ya kulisimamia hilo shamba anayo? Sometimes tuwe tunawaza na kuona mbali

Amejifunza masuala ya ulinzi JWTZ na makampuni ya ulinzi kigezo namba moja ili upate kazi ni hicho, kwa hio km amepita JWTZ aende KAMPUNI yoyote ya ulinzi kazi anapata
Mm si mshaur aende huko.... kampuni za ulinzi.... labda kampuni nzuri ila sio local security company....
 
Nope kazi Niko vizuri na adobe Photoshop na Illustration Niko mwanza Nyegezi Kona/ op. Tema hotel 0784804033
Nyegezi kona opposite na tema hotel🤣🤣labda kwa sababu nina miaka 10 sijafika Mwanza,kipi kilianza kumfuata mwenzake...nyegezi kona au tema hotel mpaka zikawa opposite
 
Back
Top Bottom