mi shida yangu ni kwenye laptop yangu ya note book sumsung n150, kila nikiingiza activation keys za window 7, na VISTA ginuine zinagoma, nimejaribu hata kutumia key loader , pia zinagoma, bado inaandika 30 days trial, wakati kwa komputer nyingine zinafanya kazi na zinakuwa genuine.
anayefahamu hili anisaidie plz
mi shida yangu ni kwenye laptop yangu ya note book sumsung n150, kila nikiingiza activation keys za window 7, na VISTA ginuine zinagoma, nimejaribu hata kutumia key loader , pia zinagoma, bado inaandika 30 days trial, wakati kwa komputer nyingine zinafanya kazi na zinakuwa genuine.
anayefahamu hili anisaidie plz