Computer inauzwa bei 230k ram 8, ssd 128

Computer inauzwa bei 230k ram 8, ssd 128

Binadamu Mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2021
Posts
4,226
Reaction score
8,879
Bei ni 230k nipo dar
Problem ni hii nilinunua mwezi wa kwanza mwaka huu refub, ishu ni inapassword kwenye eufi sijui ni bios (ambayo siijui na niliponunulia warranty ni miez sita)

Ram 8GB,
Ssd 128,
Battery 3hrs

Bei maelewano
20241204_080629.jpg
20241204_080651.jpg
20241204_080851.jpg
20241204_080859.jpg
 
Ilo tatizo la pasaword eleza vizuri tufike bei
Unapotaka kuingia kwenye setting za bios mfano kwa kupress f12 mara nyingi inapowaka inataka uweke password mfano unataka kuset boot order, secure boot tpm n.k
 
Back
Top Bottom