kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Wakuu msaada wenu hapa.
Nina laptop yangu niliiacha kama miezi nane bila kuitumia baada ya kununua nyingine, sasa leo nimeiwasha ikawa ianawasha tuu taa zake na kuzima, pia haileti hata mwanga wowowte kwenye screen.
Wazee wa tech msaada wenu hapa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Nina laptop yangu niliiacha kama miezi nane bila kuitumia baada ya kununua nyingine, sasa leo nimeiwasha ikawa ianawasha tuu taa zake na kuzima, pia haileti hata mwanga wowowte kwenye screen.
Wazee wa tech msaada wenu hapa tatizo linaweza kuwa ni nini?