Nimecheka π eti anakwambia hilo jina la kituo cha daradara majirani ndiyo wametaka kiitwe hivyo kwa heshima yake, aseee huyu jamaa ana visa.Aisee karudi,,acha aendelee kupiga hela,
watu wengi ni wagonjwa,
Anakwambiakwa dar shuka mbezi kwa ndodi
Nimezimiss mada ya ulevi na walevi ya Mshana Jr CONSTABLE MPENDWA, huyu Dr. Ndodi naona anakuja na K Vant za upakoYule jamaa aliyetikisa miaka ya 2017 anasikika live kupitia RFA nadhani tumsikie kama atakuwa na jipya au ni yale yale ya upigaji.
Namsikia anasema amekuja kivingine π eti, muinjilisti π.
Huyu jamaa ni mwinjilist tangu akiwa mdogoYule jamaa aliyetikisa miaka ya 2017 anasikika live kupitia RFA nadhani tumsikie kama atakuwa na jipya au ni yale yale ya upigaji.
Namsikia anasema amekuja kivingine π eti, muinjilisti π.
Ila uinjilisti kwenye madawa ni zaidi ya uinjilisti maana, soma hiyo πHuyu jamaa ni mwinjilist tangu akiwa mdogo
alikuwa ananifurahisha kwenye zile dozi anazompatia mgonjwa,anakwambia chukua malimao 7,ukwaju loweka glas mbili kubwa,tangawizi mbichi tatu,pilipili mbuzi iliyokauka nk.Yaani huo mchanganyiko unakutia imani kwamba hapa nimepona kumbe anacheza na saikolojia yako ila kinachokuponya pale ni imani yako kwamba nimepata dawa kutoka kwa Dr mbobezi.
Ivi huyu jamaa si msukuma?Huyu jamaa ni mwinjilist tangu akiwa mdogo
Nadhani ni mtu wa Iringa, kati ya kabila za mkoa huo
Sawa mkuuNadhani ni mtu wa Iringa, kati ya kabila za mkoa huo