Concern hii ni kwa ccm tu kwa nini?

Ngekewa

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2008
Posts
7,705
Reaction score
1,288
John Nditi, Morogoro
Daily News; Friday,December 26, 2008 @00:02
 
hao si ndio walisema Kikwete ni chaguo la Mungu, lazima wawe na wasiwasi waqnapoona chama chake kinagawanyika
 
hao si ndio walisema Kikwete ni chaguo la Mungu, lazima wawe na wasiwasi waqnapoona chama chake kinagawanyika
Basi ipo haja ya kuweka Misa maalum kwani mambo CCM hayaendi sawa kwani kama ilivyo Iraq na Bush kurembewa kiatu CCM mambo ni kurembeleana nguo za ndani.
 
Basi ipo haja ya kuweka Misa maalum kwani mambo CCM hayaendi sawa kwani kama ilivyo Iraq na Bush kurembewa kiatu CCM mambo ni kurembeleana nguo za ndani.

Misa maalum makanisani na sala misikitini hazitasaidia chochote kama serikali haina nia ya kweli ya kupambana na mafisadi bila kujali nyadhifa zao walizokuwa nazo sasa au miaka ya nyuma.
 
Wengi wetu tunaitegemea CCM kwa hali na maisha yetu. Endapo CCM itasambaratika inaonyesha wazi kuwa wengi wetu tutakufa kwa kihoro. CCM imekuwa ni aina ya hifadhi kwa wengi wetu. Ni hifadhi ya matajiri na masikini, ni hifadhi ya wauaji na walaji rushwa. Ni hifadhi ya wacha Mungu na majambazi. CCM imebeba kila aina ya watu na tabaka. Lakini kitu ambacho wengi wetu hatujazinduka nacho ni kuwa, CCM haina tena "legitimacy" ya kuitawala Tanzania. Manyago yamekuwa mengi mno. Ni wakati sasa wananchi wazinduke waoshe mikono yao na kukihama chama tawala.
 
Huyo askofu na yeye, kuzomea na kushangilia viongozi ndio siasa yenyewe.

Je wangekuwa wanashangiliwa kila wanakoenda bado angelalamika?
 
Huyo askofu na yeye, kuzomea na kushangilia viongozi ndio siasa yenyewe.

Je wangekuwa wanashangiliwa kila wanakoenda bado angelalamika?
Hata haeleweki kwa kweli! Yaani badala ya kukaripia maovu ya viongozi yeye anawaonea huruma sijui? Na anaongea utadhani Watanzania/Wakristo wote wanaogopa kuanguka kwa CCM au kuzomewa kwa hao viongozi. Kama anakula hela ya hiyo CCM na anaogopa ikianguka atakula wapi! huo ni ubinafsi wake yeye mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…