Condom milioni 9 zimeingia Tanzania

Condom milioni 9 zimeingia Tanzania

ChikoTz

Member
Joined
Feb 26, 2019
Posts
37
Reaction score
33
Leo MSD wametangaza kuwa zimeingia condom za wanaume milioni 9 hapa nchini kwetu na zitaanza kusambazwa nchi nzima sasa mimi nataka kuongea nao wasisambaze nchi nzima bali wasambaze kwa member wote wa kiume wa JF

Hapo mnaonaje[emoji12][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo MSD wametangaza kuwa zimeingia condom za wanaume milioni 9 hapa nchini kwetu na zitaanza kusambazwa nchi nzima sasa mimi nataka kuongea nao wasisambaze nchi nzima bali wasambaze kwa member wote wa kiume wa JF

Hapo mnaonaje[emoji12][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Picha hii apa
53492069_2613785392026938_8923144286354739301_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afadhali, jana nilikuwa mkoa fulani nilitafuta condom kwa shida sana, mwishowe nikapata mahali zimebaki pakiti mbili tu aina ya Fiesta!
 
Back
Top Bottom