Leo MSD wametangaza kuwa zimeingia condom za wanaume milioni 9 hapa nchini kwetu na zitaanza kusambazwa nchi nzima sasa mimi nataka kuongea nao wasisambaze nchi nzima bali wasambaze kwa member wote wa kiume wa JF
Hapo mnaonaje[emoji12][emoji3]
Sent using
Jamii Forums mobile app