Condom ni mpango wa Wazungu kutaka wabongo tusipate Utamu na tusizaane

Condom ni mpango wa Wazungu kutaka wabongo tusipate Utamu na tusizaane

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Mimi niseme tu kweli sijawahi tumia condom. Nilijaribu tu kuvaa nikaona inabana mashine mpaka mashine inakosa kupumua. Nikavua nikapiga show bila condom

Condom ni mpango wa wazungu kutaka wabongo tusijisikie raha wakati wa kupukuchua. Na waafrika wengi hawajagundua hilo, sisi ambao tunafahamu tunatizama tunasema hii

Wazungu hawataki tuzaane. Ndo maana wanataka tutumie condoms. Wanataka tubaki wachache. Pia, hawataki sisi tu enjoy mchakato.

Wewe kama hata demu humwelewielewi mwandae sana, mwandae mpaka aloane kisha piga game akiwa kule kwake kuna yale mafuta mafuta ya utelezi, hapo safi kbisa.
 
Kondom muhimu sana, anaetaka kuzaa/kuzalisha akiamua kama uwezo upo atafanya hvyo. Kwa kizazi hiki bila kondom kuteketea ni easy sana
 
Mbona hata kwao zipo na wanatumia? Lakini sio shuruti kutumia.
 
we endelea tu kuuza mechi matokeo yake utaunganisha kwenye grid ya taifa bila kujua.

NB: USHUJAA WA KIFALA MARA ZOTE HUDHURU
 
Kutumia au kutotumia ni maamuzi yako mwenyewe. Ila afya ni muhimu sana.
 
1.condom ni kwa wale singles.
2.condoms ni lazima kama upo nje ya ndoa naunaenjoy.
3.condom husaidia STDs disease.
Kwa hiyo wewe unayetaka hivyo sio lazima upate HIV ila hayo magonjwa ya ngono aise ni mbaya sana.
Nayaogopa hayoo.
Sana tu
 
Hulazimishwi kuzitumia na pia Rais wako amechonga madawati mengi yanahitaji wakaliaji wewe fyatua tu.
 
Mimi niseme tu kweli sijawahi tumia condom. Nilijaribu tu kuvaa nikaona inabana mashine mpaka mashine inakosa kupumua. Nikavua nikapiga show bila condom

Condom ni mpango wa wazungu kutaka wabongo tusijisikie raha wakati wa kupukuchua. Na waafrika wengi hawajagundua hilo, sisi ambao tunafahamu tunatizama tunasema hii

Wazungu hawataki tuzaane. Ndo maana wanataka tutumie condoms. Wanataka tubaki wachache. Pia, hawataki sisi tu enjoy mchakato.

Wewe kama hata demu humwelewielewi mwandae sana, mwandae mpaka aloane kisha piga game akiwa kule kwake kuna yale mafuta mafuta ya utelezi, hapo safi kbisa.
Are you dumb or something? Condow was designed kulinda watu against ugonjwa wa ukimwi. But then they discovered inaweza kutumika kama birth control device.
Ni simple science.
Kama unataka kuzaliana usitumie ndom.. easy
Kama unataka utam nenda dry..
Lakin yakikukuta usilaumu maneberu
 
Back
Top Bottom