Condom za DUREX

Bishanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2008
Posts
15,321
Reaction score
10,075
Kuna Pharmacist kanilipulia bomu akaniambia Condoms za DUREX aina ya FEATHERLITE zenye pakiti ya rangi ya brown zimepigwa marufuku kisa ziko chini ya kiwango. Naomba wadau walio karibu na TFDA watuhabarishe kama ni ya kweli haya,na je usalama wa waliokuwa wanazitumia uko vipi au ndo inabidi kujisalimisha 'angaza'? Kusema kweli inatisha maana leo pitia Pharmacy yoyote mjini aina hiyo ya condoms kweli hazipo madukani! Wadau twafa maana ilianza na metakelfin feki,mara ampicillin feki sasa jamani hawa matapeli wanavamia na idara nyeti?
 
dah! nakuona presha imepanda
pole sana aisee
 
yani wapigaji hawaangaikagi na vitu cheap sasa ona unaenda kununua durex elfu10 wakati salama ni cheap na hazijachakachuliwa bado tunaambiwa cheap is expensive
poleni wachepukaji rudini kwenye mstari
 
Ungezitesti kabisaa kama ziko na ubora wa chini ya viwango ili uje na uthibitisho.
 
Kapime kwanza ukimwi ujue status yako
 
Wanacheza na nyeti zetu hawa... Ukimwi upo lakini sio rahisi kupata labda unuwie
 
Acheni mbwembwe kila condom mpya ikija mnairukia.Salama ndo kondom yetu wabongo,badili mademu na sio condom [HASHTAG]#3bomba[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…