Condom za hot zina vitobo

Condom za hot zina vitobo

Mwana wa Mungu

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2008
Posts
1,003
Reaction score
85
Kondom za hot zilizopigwa marufuku kenya na zambia, zinauzwa hapa tz. nimeona kwenye taarifa ya habari leo asubuhi. mimi sijawahi kutumia kondom, kwasababu sihitaji, nina mke na watoto wetu manake. sasa kazi kwenu washabiki wa condoms, kwasababu kama mlishatumia, nasikia zina vitobo vinavyoingiza majimaji. kama kweli huo si mtandao wa shetani kuangamiza watu wanaofanya ngono, kutengeneza condom ni nini hiyo? mbona sasa wanatengeneza halafu wanaweka na vitobo ili ziingize majimaji ili mpate ukimwi zaidi|? bado tu mnaziamini kondom au mnaamini kwenye kusubiri na kuwa na mke mmoja kama mimi?
 
sasa kama wewe una mke, na sie tusiokuwa na wake wala kusubiri kunatushinda tufanyaje sasa, tuumie wakati wewe unafaidi??. Lol.
ajali kazini hiyo bana.
 
sasa kama wewe una mke, na sie tusiokuwa na wake wala kusubiri kunatushinda tufanyaje sasa, tuumie wakati wewe unafaidi??. Lol.
ajali kazini hiyo bana.

Naamini Masanilo na Fidel80 hawajaiona hii thread. Inawafaa sana hii manake ndio fani yao.
 
hii kitu watu hata hawaongelei sana, kwasababu humu ndani kuna watu wengi sana wanaotumia kondom, lakini ni kwasababu hawajaoa kwahiyo ni malaya hivyo nimegusa kwenye kidonda, au ni kwasababu wameoa lakini wanatoka nje ya ndoa. nawashauri mkapime, kwasabbu inawezekana mmeshaukwaa tayari. rudini kwa Bwana mpone wajameni.
 
shetani anawatengenezea condom kwa mtego na ninyi mnatumia, kumbe mwenzenu anataka mufwe wote..hamjui kuwa hao wanaotengeneza condoms ni maajenti wa shetani?
 
Watu waache Ngono,Condom si kinga zaidi ya virusi vya ukimwi ila kama hawasikii acha wapukutike ili ajira ziwe nyingi
 
Back
Top Bottom