Condom zimepanda bei tumejipangaje kudhibiti maambukizi?

Condom zimepanda bei tumejipangaje kudhibiti maambukizi?

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Wakati tunapambana na mfumuko wa bei kumbe sikujua hata condom nazo zimepanda bei juzi wakati nipo safari usiku ule nilivyofika bar moja nimekunywa wakati naondoka zangu kulikuwa kuna mrembo nilimuomba kampani akakubali usiku ule nilinunua kondom pakiti mbili za kutumia usiku ule na asubuhi nilitoa elfu 10 kwa mangi nikarudishiwa elfu 8000 sikuona haja ya kuuliza kwanini ameniuzia bei kubwa

Siku ya pili niliingia dukani uswazi ili ninunue kondom za akiba ndio hapo nilipojua kumbe kondom zimepanda bei kutoka mia 5 hadi elfu moja kwa pakiti moja
 
Hizo ni hatari sana muda wowote zinapasuka na hutojua utamu utakuwa unazidi kuongezeka nimepita danguro moja nazani hata wao wameanza kutumia hizo za bure ila zinanuka lile eneo harufu ni kali sana kama hospital
Nme taka kuuziwa buku 2 nka kataa pemben kuna ki dispensari nkaenda kuchukua za not for sale
 
karibuni wazee👇🏾

sera yetu, 'sheria mkononi, amani moyoni'
imageedit_2_9126229852.jpg
 
Wewe sio mzinifu
Condom ni buku tangu 2021
Mimi nna box langu hapa issue ni akija unalificha mbali sana nkimuacha nyumban nakosa amani
 
Back
Top Bottom