CONDOM

CONDOM

amigod

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2018
Posts
345
Reaction score
264
Yah:
Kuadimika kwa condom
Kwa kipindi kirefu kidogo kumekuwepo na upungufu wa condom katika maeneo mengi hari hii inatuathiri sana sisi wazinzi lakini waoga wa kuukwaa ukimwi
Maambukizi mapya yamepungua wanataka yapande kwa kiasi kikubwa
Wanakusudia kutuletea condom mpya yenye kasi ya 4g kwenye maambukizi
Tusilemae condom mpya hatutatumia
 
Hiizi ni mbinu mpya za kututeketeza zinazotumiwa na mabeberu. Maana kama ni maambukizi yapo juu, sasa kavukavu ndiyo yatapanda zaidi.

Mlinzi wa mwili wako ni wewe mwenyewe.
Tafakari na uchukue hatua.
 
Huku Denmark hatutumii hizo mambo halafu Achen kuvuta Bangi
tapatalk_1558026471703.jpeg
 
Mzee baba wewe unakula kavu kavu? au labda tuseme wewe ni wa njia kuu tu
ukifanya kwa condom ni sawa tu umejifanya mwenyewe, maana sha**wa utabakiwa nazo mwenyewe.. Arafu mwanamke hatakuwa anaijua radha ya mkunyenge wako(joto lako) wala wewe kujua joto na radha yake..


#kupigia condom ni heli niunge jitihada za CHAPUTA tu.
 
Back
Top Bottom