Sasa kama wanajamvi naomba tusaidiane namna ya kukabiliana na wahuni hawa.
Iyo ni nyama ya kifaranga cha kuku au
Portion ya mishikaki 25k π
Asante kwa maoni lakini ndo uwandishi Gani Sasa huo Mkuu?Wauzaji wa pale.coco.wengi.wanaibia.wateja bei.zao.haziendani.na.uhalisia,dawa.ni.kutokwenda
Mishikaki ya coco beach ni sawa na punje ya mahindi.Salaam wana jukwaa.
Nimepita sehemu moja nikakuta watu wanajadili kuhusu tabia ya upigaji ya wauza mihogo na mishikaki COCO BEACH.
Malalamiko yamekuwa mengi kuhusu tabia yao ya kuuza mishikaki kwa bei ya juu huku bidhaa hizo zikiwa sio za gharama hiyo kwa uhalisia.
Sasa kama wanajamvi naomba tusaidiane namna ya kukabiliana na wahuni hawa.
Tupatie mbinu ya kuhakikisha hauingii kwenye upigaji wa hawa jamaa.
Salaam wana jukwaa.
Nimepita sehemu moja nikakuta watu wanajadili kuhusu tabia ya upigaji ya wauza mihogo na mishikaki COCO BEACH.
Malalamiko yamekuwa mengi kuhusu tabia yao ya kuuza mishikaki kwa bei ya juu huku bidhaa hizo zikiwa sio za gharama hiyo kwa uhalisia.
Sasa kama wanajamvi naomba tusaidiane namna ya kukabiliana na wahuni hawa.
Tupatie mbinu ya kuhakikisha hauingii kwenye upigaji wa hawa jamaa.