Confession: Ilikuwaje ukatembea na mke/mme wa mtu?

😀😀😀
 
halafu wake za watu watam aisee
 
Reactions: SDG
Kuna kademu kalikuwa karafiki kangu...kakaolewa...akapata mtoto,wakahama mkoa wakaenda dar kuishi na mumewe mimi nikabaki chuga...basi kakirudi chuga kanakujaga kwangu tukawa tunapiga stori kanarud kwao..siku kakaniambia anakuja kulala...nikapiga shoo kama wiki hivi walahi mpaka huu mwez ameniambia anakuja...anadai anapenda tu kuwa na boy wa arusha
 
"NANG'ATUKA NSHAIKOSEA JAMII.
NIKAJIITA MUNGU-MTU NKAJIITA NABII

NANG'ATUKA EM MUNGU PONYA NAFSI HII

NAPIGA GOTI NÀTUBU DAIMA NITAKUTII"-JAY WA mitulinga
 
Siku nisiyoikumbuka nikapokea sms " hivi CHE baada ya kufumua nyuzi zangu miaka ile hujawahi nitamani tena? "
Nikajibu "i need you ila wewe ni mke wa mtu sasa".
Akasema " Anahitaji anipatie akiba yangu", akapanga sehemu tukutane, basi tulipokutana mi nikahamisha uwanja na magoli nikajilia akiba yangu na mpaka leo still nagonga!!
Nitafanya nini wakati hata wife wangu wananigongea!!
"Shame on ME"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…