Confessions of an unfaithful husband



Kaka umenikumbusha wimbo wa Lady Jay Dee ft MwanaFA. Suruali zinanivuka kila nikiona binti.... (Hajui tulikoka Lady Jay Dee, ft MwanaFA)
 
Kaka umenikumbusha wimbo wa Lady Jay Dee ft MwanaFA. Suruali zinanivuka kila nikiona binti.... (Hajui tulikoka Lady Jay Dee, ft MwanaFA)

Hapo sanaa inapowakilisha maisha halisi, zamani sikuwahi kuufikiria wimbo huu ila nadhani waimbaji walienda deep sana.
 
loh nahisi hukufaa kuoa ulitakiwa ubaki mseja for the rest of your life ili ufanye yoote unayoyapenda ya kibazazi
 
Nadhani hata confession ni njia ya kumtia hasira mkewe ili adai talaka maana katafuta kila sababu kakosa so hii ni silaha yake ya mwisho.
 
Kuna wengi tu wanaofanya hayo ila hamna hata mmoja mwenye ubavu wa kutubu hata ashikiwe pisto au akamatwe live. Kuna mdada alikuwa amekodi kwa wazazi wangu kwa ajili ya biashara; mdada alikuwa na magari mawili tena ya maana. Sasa sijuhi shule ndogo unakuta yuko kijiweni anasimulia jinsi anavyotunzwa na mume wa mtu by then alikuwa na ujauzito. Sasa mimi nikamuuliza huyo mwanaume watoto wake si watakuwa wanalala njaa maana naona pesa yote inaishia kwako. Akanijibu the man has money; mkewe anatembelea benzi kwa hiyo wala si rahisi wife kumshtukia. Akaendelea kutamba kuwa hata safari za kikazi nje ya nchi most of the time anaenda na yeye na si wife, na hiyo biashara jamaa ndiye kamlazimisha afanye (because yeye kama yeye haoni kwa nini ateseke na kutafuta pesa huku jamaa anamwagia za kutosha). Yani roho huwa inaniuma utadhani namjua huyo wife. Ukiwa na mume mwenye pesa kazi; ukiolewa na masikini kazi.
 


Mume wangu Mpendwa...

Cha ajabu nyie wanaume tuki kaa kimya mnafikiri hatujui nini kinatendeka... Mara zoote na mara nyingi ulikua unafanya hivo na nikawa navumilia sababu mimi personally hujawahi nifanyia visa vya moja kwa moja na apart from hayo makosa you are a good husband. Hata hivyo niliona bora tu nivumile maana hata mimi ni mkosefu kwako...

  1. Yule First born wetu ambae alizaliwa immature - hakua immature ile mimba ilitimiza miezi tisa ila tu nilificha kua tulipokutana nilikua na uja uzito tayari... Hivo mtoto umpendae kuliko woote na ni wa kiume pekee sio wako.
  2. Suzy namfahamu kabla yako... tabia yake ndio hio hio ya kuparamia waume za watu - hivo nilijua kabisa kua utaingia katika anga zake, nikaona ni bora uwe na mwanamke ambae nitaweza fuata nyendo zako kuliko nisiemjua, ndio sababu ya kusifia sifia ile nyumba nikiamini kua labda utasema kweli.... naona ukawa unakwepa.
  3. Naelewa mambo ya Saloon huko.... maana hata mimi wale vijana wananifanyia Pedicure na Manicure... hua wananifaa kwa mengi... after all ukitoka kwa Suzy huwezi kitu - huwezi nilaumu, maana wewe sio lijali kiasi hicho...
  4. Mimi hua sijali kabisa ukienda mpirani au bar... kweli ukishinda nyumbani ni mpaka tugombane, hivo ukija zako umechelewa ni furaha kwangu na hua najifanya nimechoka mno ili tu usiniguse, nakua sina hamu nawewe...
  5. Sie kwetu kakaa kwa mume ni heshima kweli.... huoni ninavo heshimiwa kwetu tukienda kuliko wale wenzangu ambao ndoa zimewashinda?? Basi wala usijali...
  6. Yule mtoto unasomesha nyumbani sio wa shangazi - sema kalelewa tu na shangazi ni siri ndani ya familia, nilipata mimba nikiwa na miaka kuminasita hivo shangazi akanipolea, akanipanja ufyele na kum adopt mtoto maana kipindi hicho ilikua aibu mno...
Hivo usijali kabisa mume wangu wewe ni mkosefu kama mimi pia... Hivo tuendelee kuvumiliana.

Mkeo Mkosefu...
 
Yule mtoto unasomesha nyumbani sio wa shangazi - sema kalelewa tu na shangazi ni siri ndani ya familia, nilipata mimba nikiwa na miaka kuminasita hivo shangazi akanipolea, akanipanja ufyele na kum adopt mtoto maana kipindi hicho ilikua aibu mno....
Hii kali kuliko zote, naweza kujinyonga kama mungu hakutaka kuning'oa kwa heart attack.
 
Hii kali kuliko zote, naweza kujinyonga kama mungu hakutaka kuning'oa kwa heart attack.


aaaah!! Mkuki kwa ngurue eeeh??? lol wee si umejifanya una confess....
 
Ni mzaha uliojaa ukweli mtupu ndani yakehaya mabo yapo! mkaubali mkatae.........Mungu atupatie ujasiri wa kutubu...............
 
Ni mzaha uliojaa ukweli mtupu ndani yakehaya mabo yapo! mkaubali mkatae.........Mungu atupatie ujasiri wa kutubu...............


Matendo sio mzaha... mzaha ni kua waweza andika hio barua ukampelekea wife??? Kweli hata uni convice sikubali labda kama mpango ni kukuacha.
 
It takes grt courage to tell the one you ''call your wife'' those things. Anyway congs and i hope you are going to change aftr that. God be with you
 
duh hili ni zaidi ya pepo la ngono,bado nakufikiria,maana mke wako namsikitikia
 
duh hili ni zaidi ya pepo la ngono,

Kwa nini tuna msingizia pepo? mimi nakili huu wote ni udhaifu wangu binafsi na sitaki kumsingizia pepo, nitasubiri hatma yangu na nitaubeba msalaba wangu bila kumsingizia pepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…