Elections 2010 CONFIRMED: Bukombe yaenda Chadema... Prof. Kahigi ndani

Sheria ya gharama za uchaguzi inasemaje?
 
.......Wahaya wamenitia haibu. Siendi Bukoba mpaka miaka mitano iishe. Nikienda huko nitawatukana bure wakianza kunieleza shida zao. Sijuhi wamechagua CCM kwa kulidhika na nini?

Hakika tumetia AIBU!
 
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Kanda ya Ziwa.
Wahaya wamenitia haibu. Siendi Bukoba mpaka miaka mitano iishe. Nikienda huko nitawatukana bure wakianza kunieleza shida zao. Sijuhi wamechagua CCM kwa kulidhika na nini?

uwezi jua labda kura zimechakachuliwa.Mbona uraisi wamempa Dr wa ukweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…