Source gazeti la habari?? Jamani hiyo source nina mashaka nayo. Just imagine habari hadi ichapishwe ije kutoka huku radios na tv's bado hawajapata habari!!
sasa akamshataki Dr. Slaa kwani mabaki yote ya Dodoma na Bunge la Afrika kamaliza kwenye kuhonga, Mwacheni aliye juu aitwa Muumba. Sauti ya watu sauti ya Mungu, kudadeki watakiona