Kwa masikitiko from mjengwa blog...IRINGA MJINI IMEPOROMOKEA CHADEMA!
Taarifa hizi ni za kuthibitisha. Mch. Peter Msigwa ( CHADEMA) ameibuka mshindi akimwacha nyuma Mama Monica Mbega (CCM). CHADEMA pia imepata kiti komoja cha udiwani, hivyo basi itakuwa na madiwani wawili, maana, mbunge, kwa nafasi yake, naye ni diwani.
Wow!!Kwa masikitiko from mjengwa blog...
Kwa masikitiko from mjengwa blog...
he he he!
wiki hii inaweza kuwa nzuri sana kwangu aisee
Iringa nawapongeza sana ila bila wamefanya technical error ya kutunyima halmashauri. Na mh. Mch. Peter Msigwa karibu mjengoni
Uzuri wa kula kwa macho ni kwamba huwezi nyimwathis is a pink monday...not a blue one.hongera chadema
Good ' they must experience the bitter side of politics as well!Kwa masikitiko from mjengwa blog...
this is a pink monday...not a blue one.hongera chadema
Good ' they must experience the bitter side of politics as well!
May the voice of people reign in the name of Allah!