Elections 2010 CONFIRMED: Karatu watangaza matokeo, CHADEMA yalikomboa!

Profesy

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2009
Posts
388
Reaction score
13
Taarifa kutoka karatu ni kwamba pastor israel ameshinda jimbo la karatu mjini

chadema - 46 000+

ccm - 20 000 +
 
Jamani vipi matokeo ya Jimbo la Hanang alikokuwa Mtalaka wa Dr Slaa??????
 
inguluvi itange mweeee
bado zingine tutakutana nao mahakamani!!
 
Ata izo 20 elfu nyingi sanaaaaaaaaaaaaaa kwa CCM
 
inguluvi itange mweeee
bado zingine tutakutana nao mahakamani!!
EBANA BBC WAMETANGAZA NAGU AMESHINDA SIJUI SASA INAKUAJE...:thinking:
 
inguluvi itange mweeee
bado zingine tutakutana nao mahakamani!!
veve ulongile namwaka kumahakama tuheka sana,
Ukiona mzee kobe kainama..............................:smile::yield:
 
Hongera sana mchungaji Israel na Chadema!!!
 
EBANA BBC WAMETANGAZA NAGU AMESHINDA SIJUI SASA INAKUAJE...:thinking:
habari kama hizi tafadhali tutafutie taarifa zaidi kuthibitisha
Nitakupasua!!!!!!!!!!!!!
 
habari kama hizi tafadhali tutafutie taarifa zaidi kuthibitisha
nitakupasua!!!!!!!!!!!!!
yani mimi nimerudia kama nilivyosikia sitafuti ugomvi. Mimi nataka rose kamili ashinde kwa wakika...
 
Mwaka 2015 tutegemee Tz mpya kabisaaaaa!
Mwee!!
Raha niliyokuwa nayo hata apetaiti ya kazi sina kabisa.
 
Jamani vipi matokeo ya Jimbo la Hanang alikokuwa Mtalaka wa Dr Slaa??????

Mtalaka wa Dr. Slaa ameashindwa na Dr. Nagu, ila Halmashauri imenyakuliwa na CHADEMA.
CCM wana madiwani 12 kati ya kata 25.
 
Mtalaka wa Dr. Slaa ameashindwa na Dr. Nagu, ila Halmashauri imenyakuliwa na CHADEMA.
CCM wana madiwani 12 kati ya kata 25.


ON red:
If it's real, fishing was there for sure !!!!!!
 
Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema ametangazwa mshindi sasa hivi.

Ubunge
CCM - 26,000+
CHADEMA - 41,000+

Udiwani
CCM - 4
CHADEMA -10

Urais
CCM - 24382
CHADEMA - 43297
barabara kuu iendayo Arusha imezibwa kwa umati wa watu wakiandama. Picha zitafuata punde.
 
tunaomba idadi ya Kura Pleeeeeese:smile-big:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…