Elections 2010 CONFIRMED: Lema atangazwa rasmi kuwa mbunge wa Arusha mjini

Na hii yote ni kwa ajili ya people's power. Kama watu wasingekusanyika wasingemtangaza
 
WTF.....1billion kweli ccm watu wabaya....asante ndesa na mbowe kwa kuwepo pale na hakika hiyo ilikua hela ndefu sanaa kukataa!
 
Lema tayari mbunge, ndo tunashangilia ushindi hapa.

Kura:

CHADEMA: 56,000+
CCM: 36,000+

Peopleeeeeeeeeeeeee's Power.

CCM WAKUBALI MATOKEO........ WHAT DOES THIS MEAN KWAMBA WALIKUA HAWATAKI MATOKEO....????? ATI WAMPE MILLIONI 200 :nono::nono:AWAACHIE KITI WANAKICHAAAAAAAAA!!!!!!!!!!
 
Leo Arusha baa zitauza bia usiku kucha!
 
Batilda akubali ku sign kushindwa CHADEMA YACHUKUA UBUNGE ARUSHA MJINI HUREEEEEEEEEEE

CHADEMA KURA 547876

CCM KURA 32110
 
sio kama nauburi udini no.! ila sehemu nyingi alizo kimbiza jk zina idadi kubwa ya vibarakashee na madira,na ndo maana ukicheki utakuta wana gawana vibarakashee na CUF,next TIME siangalii sera ni IMANI MKAZI. FAAAKI PISI:A S angry:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…