Walitaka "kuchakachua" ikashindikana - and the GOOD NEWS ni kuwa mshindi ni mlemavu wa ngozi
Redio one wamethibitisha ushindi wa CUF kwa albino kule LINDI bravo!
Sikiliza! Kilio kinasikika kutoka babuloni! Kishindo cha maangamizi makubwa kutoka nchi ya wakaldayo! Maana mimi Mwenyezi-Mungu naingamiza Babuloni, na kuikomesha kelele yake kubwa. Adui anaunguruma kama mawimbi ya maji mengi, sauti ya kishindo chako inaongezeka. Naam, mwangamizi anaijia Babuloni; askari wake wametekwa, pinde zao zimevunjwavunjwa. Mimi Mwenyezi-Mungu ni Mungu mwenye kuadhibu, hakika mimi nitalipiza kisasi kamili.
I don't care who he is really, I only care that he is hated by the system I hate(CCM)! Freedom is coming tomorrow!!!!!!!!!!!!!!:bowl:Umesema mshindi anaitwa Mh****? mbona sijaelewa.
SAFI SANA WANALINDI MJINI, KILWA NA MASASI KWA KUONESHA MABADILIKO NA KUKIAMINI CHAMA CHA WANANCHI CUF! BIG UP!!!!!Mbunge wa Lindi mjini mheshimiwa mkuu wa Mkoa ameshindwa vibaya na mgombea wa CUF hivi sasa watu wapo mitaani