Kuna wengine wanapanga ili kuishi karibu na ofisi zao za kazi.
ntaendelea kupanga niolewe nisiolewe yote ni mipango ya Mungu after all nafanya nacho ona mm ni sahii kama ananipenda atanifata kokote tu sio lazima nikae nyumbani ndo ajue mm ni mke mwema,naweza kuwa nyumbani kutwa natoroka mpaka mzazi anatamani nihame maana ni kero,kupanga kwangu kunanifunsha maisha tofauti na nyumbani nakuwa makini zaidi ktk kila nilifanyalo!VIVA KUPANGA FOR INDIPENDENT LADIES.
ndio maana hatuendelei kwa mawazo mgando kama haya,nikishapata kazi napaswa kujitegemea,utakuta majumbani mwetu tunafuga mibaba na mimama ya miaka zaidi ya 25 tukiyaita watoto,inahusu!!!
Wala usirudishe mwaya vitu vyako nyumbani, kwanza hiyo inakusaidia kujifunza maisha.
Hapo ndo nakuwa nautumikia huo uwife material eti,
Bwana Bwana Mke/Mume mwema hutoka kwa bwana.
Hata nijenge nyumba acha kupanga, kama we mume umetoka kwa Mungu,
Ndoa njema, nzuri, tamu, yenye mafanikio na neema na nguvu itakuja tu.
Acha kutudanganya tujifungie kwenye mabox ya ujinga na umaskini kisa Wife material.
Nipishe nipite.
Umeongea point kabisa, hivi kwanza utakaa kwa wazazi mpaka lini?
mwe!!!!!!![/QUOTE]
Sema bacha, litoe hilo liliko moyoni.
Ngoja basi nirudishe virago nyangu nyumbani. Nataka kuwa wife material.
Tabu ya nini, LD, hebu njoo kwangu uondokane na masimango hayo yote!
Bacha anza mchakato basi, lakini mi sijapanga nimejenga pale Salasala A.
Hiyo hela ya kujengea na uhuru uliokua nao inamashaka mengi.
Mh..!! Mnatutisha sasa watafutaji .
kaka jamabazi usije ukapigwa kama hivyo in your avtar kwa ku confuse bible, hiyo statment haimaanisha ndo mtu akae home jamani kama job ni posta wazazi wamejenga kibaha does it make senc eti nikakae home nichelewe job au........ am sorry kama vip mkaoe walioko vijijini ambao hawakai mbalina wazazi mie sitaki shari mwaka nikauanza vibaya bureHata baibo inasema hivi kwa mwanaume na sio mwanamke.
Mwanzo.2:24 anasema, Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili moja.
ntaendelea kupanga niolewe nisiolewe yote ni mipango ya Mungu after all nafanya nacho ona mm ni sahii kama ananipenda atanifata kokote tu sio lazima nikae nyumbani ndo ajue mm ni mke mwema,naweza kuwa nyumbani kutwa natoroka mpaka mzazi anatamani nihame maana ni kero,kupanga kwangu kunanifunsha maisha tofauti na nyumbani nakuwa makini zaidi ktk kila nilifanyalo!VIVA KUPANGA FOR INDIPENDENT LADIES.