Confirmed: Msichana Aliyepanga Nyumba



For her own good na kama anataka kuolewa mapema zaidi, hapaswi kuhama.

Kiukweli inaleta heshima kumchukua binti kwa wazazi wake kuliko umkute yuko full furnished geto kwake.
Ndo mwanzo wa dume zima kuambiwa unikome kwani hukunikuta nalala na njaa,,wanawake wengi wa namna hiyo ni arongant sana.
 
Hata nikiwa kwa baba/mama/kaka/ mjomba nikiamua kufanya hayo nafanya,
Bado hicho sio kigezo, Maisha ni vile nimeamua kuishi/kuchagua.

ndo maana mada inasema hautakuwa wife material!
 


Ungekaa kwa wazazi afu unafuata maadili yote ya kurudi mapema,kuhudhuria misibani,jumuiani,harusini nk ungekua umeishaolewa zamaaani.
 
Dada punguza kiingereza ujue wenzio hatukijui vizuri kutokana na kukosa fulsa za elimu sema tu Mungu katujalia tupesa twa laputopu, nasi tunapenda tufurahie hili jukwaa!!!!!!!!


Ka ulikua kwe mawazo yangu.
 
ndo maana mada inasema hautakuwa wife material!

Nikweli mkuu.
Wengine hawajui pia kuwa wanaweza wakaolewa licha ya kupanga kwao,,LAKINI WASIWE WIFE MATERIAL.
 
ah ah ah same to u swty hut,darling na yale majina yako mengine meeeengi!nafurahi kukuona umechaguliwa tena.:teeth::teeth::teeth:

ndio kunifanya nini tena hivyo mimi nita withdraw kama hali ndio hii hayo mambo ya wewe kuwekwa ndani na mapedesheee mimi siwezi
 
ah ah ah usijali la huba mbn niko kwajili yako ww tu?
ndio kunifanya nini tena hivyo mimi nita withdraw kama hali ndio hii hayo mambo ya wewe kuwekwa ndani na mapedesheee mimi siwezi
 
Finest na Pearl jinsia zenu tafadhali:confused2::confused2:
 
baby jamani tusubiri kidogo basi tumalize nyumba,yani unataka na huyu palepale kwenye nyumba ya kupanga?si unaona sasa nashindwa kukupa mambo matam zaidi kwa sababu ya chambo za majirani?tutaongeza mpz wangu ngoja nirudishe mwili kidogo nipe miezi 6 tu swty wangu,I will make u a very proud Daddy.,Nisamehe kama nimekukwaza lkn.
Sasa this year tunaongeza mtoto mwingine wa pili au tusubiri kwanza
 

The Following User Says Thank You to Pearl For This Useful Post:

The Finest (Today)


AS YOU WISH MY LOVE SINA KIPINGAMIZI JUU YA HILO HALAFU HUYU WA KIKE NAONA VIJANA WA MTAANI WAMEISHAANZA KUMZENGEA
 
usijali swty MUNGU ninaemwamini atamlinda na kumpigania dear
The Following User Says Thank You to Pearl For This Useful Post:

The Finest (Today)


AS YOU WISH MY LOVE SINA KIPINGAMIZI JUU YA HILO HALAFU HUYU WA KIKE NAONA VIJANA WA MTAANI WAMEISHAANZA KUMZENGEA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…