KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
- Thread starter
-
- #61
mkuu fikiri kidogo,
dada yako anafanya kazi kiwanda cha wazo. Familia yote mnaishi mbagala. Kuna ubaya gani akitafuta chumba maeneo karibu na wazo? Hawa watu hawafugiki na wala hawalindwi au kuchungwa........akiamua kaamua hata awe ndani ya geti kali namna gani.
dah hii kali kwa hiyo nisipoolewa, ntakaa nyumbani hadi lini jamani
Hata nikiwa kwa baba/mama/kaka/ mjomba nikiamua kufanya hayo nafanya,
Bado hicho sio kigezo, Maisha ni vile nimeamua kuishi/kuchagua.
jamani jamani we kaka jambaz mböna hivyo? Shost nn miaka 25 mi nina 37 eti bado niendelee kukaa kwa wazazi kisa nitakua c mke mwema lol hii kali, ss bora kuna m2 kasema kwa wazazi na kazini anapanda daladala 2 mimi kwangu na kwa wazazi ni dk tano 2 so mimi naona kwa utafiti wa jambazi ndo ctaolewa kabisa mwe
Dada punguza kiingereza ujue wenzio hatukijui vizuri kutokana na kukosa fulsa za elimu sema tu Mungu katujalia tupesa twa laputopu, nasi tunapenda tufurahie hili jukwaa!!!!!!!!
ndo maana mada inasema hautakuwa wife material!
anataka kuwa huru kufanya chochote atakachoamua...kubadilisha wanaume wowote atakaowataka...huu ndo ukweli wenyewe.
vp tena?
halafu wewe, happy new year
ah ah ah same to u swty hut,darling na yale majina yako mengine meeeengi!nafurahi kukuona umechaguliwa tena.:teeth::teeth::teeth:
ndio kunifanya nini tena hivyo mimi nita withdraw kama hali ndio hii hayo mambo ya wewe kuwekwa ndani na mapedesheee mimi siwezi
Finest na Pearl jinsia zenu tafadhali:confused2::confused2:
yap dear thank God everything was ok hope u had the same too.
Finest na Pearl jinsia zenu tafadhali:confused2::confused2:
Sasa this year tunaongeza mtoto mwingine wa pili au tusubiri kwanza
baby jamani tusubiri kidogo basi tumalize nyumba,yani unataka na huyu palepale kwenye nyumba ya kupanga?si unaona sasa nashindwa kukupa mambo matam zaidi kwa sababu ya chambo za majirani?tutaongeza mpz wangu ngoja nirudishe mwili kidogo nipe miezi 6 tu swty wangu,I will make u a very proud Daddy.,Nisamehe kama nimekukwaza lkn.
The Following User Says Thank You to Pearl For This Useful Post:
The Finest (Today)
AS YOU WISH MY LOVE SINA KIPINGAMIZI JUU YA HILO HALAFU HUYU WA KIKE NAONA VIJANA WA MTAANI WAMEISHAANZA KUMZENGEA