Elections 2010 CONFIRMED: Nyamagana - CHADEMA (Wenje) watangazwa rasmi washindi

walikuwa wamebana kumbe figure ilikuwa kubwa kiasi chote hicho?fisadi masha lazima aende lupango mwaka huu............hongera wenje
 
Navyojua mwanza milimani basi kungekuwa ndo city centre na mitaa ya kati kusingekalika.
 
Nasikia Masha yupo hoi kwa presha 🙂
 
kudadadeki, wanamwanza komaeni hadi kieleweke ILEMELA pia
 
Nyamagana

Wenje (chadema)=38171

Masha(CCM)= 27883




source stat Tv.
 
swafi saana ukombozi unazidi kuja, haki hucheleweshwa tu walidhani watachakachua eenh bado kwa diallo sasa.
 
Mwanza nderemo na vifijo. Mapinduzi Nyamagana na Ilemela mikononi mwa Chadema. Maanake ilikuwa ngumu kuchakachua. Watanzania wabadilika jamani. Yaani mpaka raha
 
nahisi nifanye nini sijui
aleluja
 
Duh kwa hiyo walikuwa wanataka kuiba kura 11,000??? kweli mwizi ni mwizi tu

Kama difference ingekuwa kama kura 500, MASHA angekuwa mbunge. Ndo kinachofanyika Kigoma mjini mida hii..
 
Mkulu akishindaurahisi lazima atampa ulaji tu.......loh masikini natamani kuiona sura yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…