Ati Masha ndo alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani. Ipo haja ya kubadili KATIBA if possible mawaziri wasiwe wabunge/wanasiasa kabisa. Ziwe kazi za kitaalamu akina Consultant tuziombe kama kawaida.
Au kama vipi, iwe clear mida kama hii wizara ya mambo ya ndani ipo chini ya uangalizi wa nani