Hongera sana Zitto tunategemea utaendelea kurusha makombora yako ya SKADI kuwateketeza mafisadi watakaobahatika kurudi mjengoni. Ila tumewapukutisha kama majani kipindi cha vuli. waliobaki hawana nguvu tena. hata km Dr. hatokuwemo mjengoni tunajeshi TAKATIFU limetinga humo litasaidiana na ww kwa ujasiri mkubwa. Tunategemea mtazima mijadala yote feki ya kifisadi. Saaaaaafi sana. Wabunge wa CHADEMA ni tishio kubwa kwa mafisadi katika mjengo unaotarajiwa kuundwa karibuni.