BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Mamlaka za Afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimeanza uchunguzi ili kubaini sababu za kifo cha mwanamke kutoka mji wa Beni anayedhaniwa kufariki kwa ugonjwa wa Ebola.
Mji wa Beni ni moja ya vituo vikuu vya mlipuko wa Ebola ambapo tangu mwaka 2018 hadi 2020 takriban watu 2,300 walifariki kwa ugonjwa huo kutoka eneo hilo.
Nchi hiyo imerekodi kuzuka kwa ugonjwa wa Ebola zaid ya mara 14 tangu mwaka 1976 na Julai 2022 Ilitangaza kumalizika kwa maambukizi ya mwisho yaliyoua watu watu watano.
============================
Health authorities in the Democratic Republic of Congo are investigating a suspected case of Ebola in the country's east, the World Health Organization said on Saturday.
A 46-year-old woman died on Monday in the city of Beni, one of the centres of an Ebola outbreak from 2018 to 2020 that killed nearly 2,300 people.
She was initially treated for other ailments but then developed symptoms consistent with Ebola, WHO said in a statement.
Congo's dense tropical forests are a natural reservoir for the virus, which causes fever, body aches, and diarrhoea.
The country has recorded 14 outbreaks since 1976. It declared an end last month to its latest outbreak, in northwestern Congo, which caused five deaths.
REUTERS
Mji wa Beni ni moja ya vituo vikuu vya mlipuko wa Ebola ambapo tangu mwaka 2018 hadi 2020 takriban watu 2,300 walifariki kwa ugonjwa huo kutoka eneo hilo.
Nchi hiyo imerekodi kuzuka kwa ugonjwa wa Ebola zaid ya mara 14 tangu mwaka 1976 na Julai 2022 Ilitangaza kumalizika kwa maambukizi ya mwisho yaliyoua watu watu watano.
============================
Health authorities in the Democratic Republic of Congo are investigating a suspected case of Ebola in the country's east, the World Health Organization said on Saturday.
A 46-year-old woman died on Monday in the city of Beni, one of the centres of an Ebola outbreak from 2018 to 2020 that killed nearly 2,300 people.
She was initially treated for other ailments but then developed symptoms consistent with Ebola, WHO said in a statement.
Congo's dense tropical forests are a natural reservoir for the virus, which causes fever, body aches, and diarrhoea.
The country has recorded 14 outbreaks since 1976. It declared an end last month to its latest outbreak, in northwestern Congo, which caused five deaths.
REUTERS