Mende mdudu
Senior Member
- Feb 13, 2023
- 111
- 223
Niende moja kwa moja kwenye mada dunia ya leo ya maendeleo ya sayansi na teknolojia haiitaji tu kuq na vifaa bora vya kupigana na adui yako ukizingatia ata m23 piq wamewekeza kwenye ubora wa vifaa na silaha zao.
Vita vya sasa vina itaji ujasusi wa hali ya juu kukabiliana na adui ukitegemea tu population yako, au uwezo wa full combat kwenye battle field ni ngumu kushinda.
Soma. Nilimshauri tishekedii kabla waasi hawaja teka goma mwezi wa kumi 2024.
Bila kujua mipango wa adui yako ubora , uzaifu na mipango yake ni ngumu kushinda vita walicho fanikiwa m23 ni kuwa na taarifa za kutosha za serikali ya congo na kukosekana kwa taarifa za kundi ilo la waasi,
Screenmemo_2025-02-03-11-25-27.png
Katika picha ni kiongozi wa waasi Cornell Nangaa kiongozi wa m23 akishiriki kufanya usafi katikati ya mji wa Goma.
Kujionesha wazi wazi kwa viongozi hau inatuma ujumbe wa uzaifu wa intelgence ya jeshi la kongo kwa kushidwa kupandikiza majasusi katika kikundi icho ilipaswa wajue ujio wa kiongozi uyo mahali apo siku kabla wawe na wanajeshi wao wa siri katika mji uo ulio tekwa na waasi kama plan A imefeli ya kupambana moja kwa moja bora waende na plan B ku assasinate viongozi wa makundi ayo kwa kua na sleeper agent goma (hit men) wenye lesence to kill with snaiper raiffle , na pia kutambua kambi kuu za viongoz ao katika mji wa goma.
Ni kama waaai wapo serious kuliko yeye
www.facebook.com
Vita vya sasa vina itaji ujasusi wa hali ya juu kukabiliana na adui ukitegemea tu population yako, au uwezo wa full combat kwenye battle field ni ngumu kushinda.
Soma. Nilimshauri tishekedii kabla waasi hawaja teka goma mwezi wa kumi 2024.
Rais wa Congo, F. Tshisekedi, tumia mbinu za ujasusi za Netanyahu kupambana na ugaidi utafanikiwa
Wakuu niende moja kwa moja kwenye mada inakuja baada ya waasi wa M23 kuteka mji wa kalembe ambao ni muhimu kwao, unatoa nafasi kwao kufikia majimbo mengine kirahisi hasa yenye utajiri wa madini, kama tshobo, kivu kusini, na maniema. Alichofanya netanyahu wakati ana anza kupambana na hamas uko...
www.jamiiforums.com
Rais wa Congo, F. Tshisekedi, tumia mbinu za ujasusi za Netanyahu kupambana na ugaidi utafanikiwa
Wakuu niende moja kwa moja kwenye mada inakuja baada ya waasi wa M23 kuteka mji wa kalembe ambao ni muhimu kwao, unatoa nafasi kwao kufikia majimbo mengine kirahisi hasa yenye utajiri wa madini, kama tshobo, kivu kusini, na maniema. Alichofanya netanyahu wakati ana anza kupambana na hamas uko...
Bila kujua mipango wa adui yako ubora , uzaifu na mipango yake ni ngumu kushinda vita walicho fanikiwa m23 ni kuwa na taarifa za kutosha za serikali ya congo na kukosekana kwa taarifa za kundi ilo la waasi,
Screenmemo_2025-02-03-11-25-27.png
Katika picha ni kiongozi wa waasi Cornell Nangaa kiongozi wa m23 akishiriki kufanya usafi katikati ya mji wa Goma.
Kujionesha wazi wazi kwa viongozi hau inatuma ujumbe wa uzaifu wa intelgence ya jeshi la kongo kwa kushidwa kupandikiza majasusi katika kikundi icho ilipaswa wajue ujio wa kiongozi uyo mahali apo siku kabla wawe na wanajeshi wao wa siri katika mji uo ulio tekwa na waasi kama plan A imefeli ya kupambana moja kwa moja bora waende na plan B ku assasinate viongozi wa makundi ayo kwa kua na sleeper agent goma (hit men) wenye lesence to kill with snaiper raiffle , na pia kutambua kambi kuu za viongoz ao katika mji wa goma.
Ni kama waaai wapo serious kuliko yeye
Bei Facebook anmelden
Melde dich bei Facebook an, um dich mit deinen Freunden, deiner Familie und Personen, die du kennst, zu verbinden und Inhalte zu teilen.