Hosee Miguel
Member
- Feb 20, 2013
- 59
- 38
Wakuu nawasalimu,
Kuna hiki kitu kinaitwa "Vumbi la Kongo" limeshamiri sana mjini daslam na mikoani as well. Sasa kina Jamaa yangu sijui ni kutaka kukomoa katumia hii kitu lakini sasa hivi analalamika hayupo sawa kiaina na anadhani ni hii kitu. Kwamba nguvu alizokua anaambiwa na supplier wake kwamba atabaki natural na nguvu zake za awali anaona kama sivyo.
Mdau/Wadau mwenye/wenye uzoefu na labda side effect ya matumizi ya mitishamba hii tafadhali njoo umwokoe mhanga huku pls
Pia Professional MD's your expertism is essential
Kuna hiki kitu kinaitwa "Vumbi la Kongo" limeshamiri sana mjini daslam na mikoani as well. Sasa kina Jamaa yangu sijui ni kutaka kukomoa katumia hii kitu lakini sasa hivi analalamika hayupo sawa kiaina na anadhani ni hii kitu. Kwamba nguvu alizokua anaambiwa na supplier wake kwamba atabaki natural na nguvu zake za awali anaona kama sivyo.
Mdau/Wadau mwenye/wenye uzoefu na labda side effect ya matumizi ya mitishamba hii tafadhali njoo umwokoe mhanga huku pls
Pia Professional MD's your expertism is essential