Elections 2010 Congrats JK.... Umeweza Mdahalo/Mahojiano

kwakweli siasa ni kitu very funny... sikutegemea kama JK angesema kuna mgombea amesema anataka kumwaga damu... huu ni uzushi wa hali ya juu

Na wale ''waandishi wa habari'' hawamuulizi huyo mtu alisema ataimwagaje hiyo damu??
 
Na wale ''waandishi wa habari'' hawamuulizi huyo mtu alisema ataimwagaje hiyo damu??

kumwaga damu ni kumwaga damu tu, haijalishi umetumia panga, bunduki, au jiwe (kama maswa)
 
Mimi nilipata kusikiliza sehemu ya mwisho ya mazungumzo yake, kitu cha kwanza kilichonidistract sana ni kigugumizi. Labda sijamsikiliza sana JK hivi ni kweli anakigugumizi kikali nanmna hiyo?

Kigugumizi ni jibu la kokosa majibu
 

Kibunango, wewe kwa vile unafaidika naufisadi uliokithiri wa chama chako ni dhahili utampigia kura yako mlinzi mkuu wa mafisadi!! Tumbo lako linakuongoza nani umpe kura yako ; sisi wengine tunaongozwa na mapenzi kwa nchi yetu na maslahi ya wajukuu zetu sisi tutampa DR. Slaa kura zetu kwani anatetea maslahi yetu. Nakutakia upigaji kura wa amani wewe na wapambe wa mafisadi wenzio!! Chonde chonde msitufanyie fujo muondoke ikulu kwa heshima na taadhima.
 
kumwaga damu ni kumwaga damu tu, haijalishi umetumia panga, bunduki, au jiwe (kama maswa)
well said, kama musoma, arusha, tarime, mwswa, mwanza, iringa nk... kumwaga damu haina maana mpaka mtu afe dnio iwe imemwagwa

God bless our country and i wish ya'all peaceful election.... tumsaidie yeyote atakayeshinda na tujenge tanzania mpya
 
Acid,

Nafurahi umeandika

...mahojiano yalikosa bashasha hasa kutokana na "choreographed" questions plans...


Huu ndio uliokuwa MSINGI wa mahojiano hayo, na wala HAUKUWA MDAHALO!

Wamechemka!

-> Mwana wa Haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…