NOTED MPWA!with many thanks
hivi leo kuna promosheni ya bia gani?
kumbe hamna specification bali tu inategemeana na upepo unavumaje eeh!!??
Hongera Shishi mwaya!!
mgonjwa huwa hakatai dawa mama....!hehehehe,halafu angalia GREAT THINKERS AT WORK HAPA:kumbe hamna specification bali tu inategemeana na upepo unavumaje eeh!!??
Hongera Shishi mwaya!!
.......NEED I SAY MORE?...nahBia bia tu mamaa!! ya moto bia ya baridi bia, thenge bia safari bia!!
mtoto mtoto tu bana, wa kiume mtoto, wa kiket mtoto
Bia ezali wapi?
Bia bia tu mamaa!! ya moto bia ya baridi bia, thenge bia safari bia!!
mtoto mtoto tu bana, wa kiume mtoto, wa kiket mtoto
Bia ezali wapi?
mgonjwa huwa hakatai dawa mama....!hehehehe,halafu angalia GREAT THINKERS AT WORK HAPA:
.......NEED I SAY MORE?...nah
Amen....😉
mbona unanilipua mtima kwani wee ndio shishi hadi uitikie amen
na hili nalo nililitegemea mpwaaz........
nb:nasikia kuku huko bei rahisi kweli!fanya maarifa basi
bia bia tu mamaa!! Ya moto bia ya baridi bia, thenge bia safari bia!!
Mtoto mtoto tu bana, wa kiume mtoto, wa kiket mtoto
bia ezali wapi?
mgonjwa huwa hakatai dawa mama....!hehehehe,halafu angalia great thinkers at work hapa:
.......need i say more?...nah
kuna mahali panakuhusu apo mpwaz....