wanajamvi sherehe za kumpongeza MR & MRS sijui nani (.shishi......) tunafanyia wapi na-hamu ya kuwaonyesha shoo maalum ya Masebene ..wakati mnaendelea kukata valuu , Konyagi, Tusker baridi na mdudu ..mie naendelaea na makamuzi ..
DAH!1. kakague
2. kakague tena kwa kutambua umuhimu na uhusiano wa hapo kwenye red
3. wewe ni GT, umejuaje tunahitaji sababu za kunywa tena na tena???
4. unaonaje tukakafanyia kale kabinti ketu sherehe ya kipaimara ijumaa? we need to have a reason to drink bana!!
boy or girl ? hhahahahha i am sure u have made this up... 🙂Hongera Shishi kwa kujifungua salama.
1. kakague
2. kakague tena kwa kutambua umuhimu na uhusiano wa hapo kwenye red
3. wewe ni GT, umejuaje tunahitaji sababu za kunywa tena na tena???
4. unaonaje tukakafanyia kale kabinti ketu sherehe ya kipaimara ijumaa? we need to have a reason to drink bana!!
Kama ulikuwa unafanya joking leo safari ya kaunta naisitisha.boy or girl ? hhahahahha i am sure u have made this up... 🙂
1. Kakague
2. Kakague tena kwa kutambua umuhimu na uhusiano wa hapo kwenye red
3. Wewe ni gt, umejuaje tunahitaji sababu za kunywa tena na tena???
4. Unaonaje tukakafanyia kale kabinti ketu sherehe ya kipaimara ijumaa? We need to have a reason to drink bana!!
NAWE KAKAGUE!Nawe kakague.
Kama unaona uvivu ikagulie hapahapa: Thanks
Kimefika kipindi sasa hata ukifanikiwa kunyoa nywele saluni bila umeme kukatika tunafanya sherehe ili mradi tu: TUNYWE na KUNYWA tena na TENA.
DAH!
mpwaaz bana kwa kuokoa jahazi unatisha
NAWE KAKAGUE!mabinamu inapofika swala la kudumisha mila mmh nawaaminia sana ....Ila tuko sambaa ..valuu moja ..Tusker bariiiiiiiiiiidi mbili,valuu ya tano Tusker bariiiiiiiiiiiiiiiidi 15 ...
tetetetet..Nyama choma ..
Huna haja ya kukagua manake ni uhakika!NAWE KAKAGUE!
kakague tena na tena na tena!
imefikia mahali sasa hata mtu AKINYWA KRETI ZIMA LA BIA tunaitana tena na tena na tena bar KUMJADILI KWAMBA ''huyu van damme anapata wapi kipaji cha ajabu kiasi hichi?''
Huna haja ya kukagua manake ni uhakika!
Kwa mantiki hiyo basi, nawakaribisheni katika mjadala wa kumjadili big brother:
Ilikuwaje akaweza kuamka asubuhi saa 11 ilhali jana yake alifakamia bila huruma valuu chupa nne?
Mjadala huu utafanyikia katika ukumbi wa Zero Pub kuanzia saa 11 jioni siku ya Ijumaa.
Wote mnakaribishwa.
Watoa mada watakuwa Geoff, Bigirira, Fidel, Kaizer na Next Level.
Mgeni Rasmi atakuwa Big Brother Mwenyewe ODM a.k.a baba la matesha
Hede hede hedeeee zitakuwepo.....
mabinamu inapofika swala la kudumisha mila mmh nawaaminia sana ....Ila tuko sambamba ..valuu moja ..Tusker bariiiiiiiiiiidi mbili,valuu ya tano Tusker bariiiiiiiiiiiiiiiidi 15 ...
tetetetet..Nyama choma ..
Kama ulikuwa unafanya joking leo safari ya kaunta naisitisha.
Ni mgomo mpaka utimize ahadi yako.
mabinamu inapofika swala la kudumisha mila mmh nawaaminia sana ....Ila tuko sambamba ..valuu moja ..Tusker bariiiiiiiiiiidi mbili,valuu ya tano Tusker bariiiiiiiiiiiiiiiidi 15 ...
tetetetet..Nyama choma ..
NAWE KAKAGUE!
KAKAGUE KAKAGUE KAKAGUE
imefika mahala ladies wanatukubali kwa kudumisha milaaz
imefika mahala mke wa rais anaweza kutoa mchanganuo halisi wa VALUU-TASKA RATIO
DAH!
mpwaaz bana kwa kuokoa jahazi unatisha
Nawe kakague.
Kama unaona uvivu ikagulie hapahapa: Thanks
Kimefika kipindi sasa hata ukifanikiwa kunyoa nywele saluni bila umeme kukatika tunafanya sherehe ili mradi tu: TUNYWE na KUNYWA tena na TENA.
Tumelala!!!......operation sangarahabari bestlady/matron
umeamka au unalala??
samahani kama nitakukwaza lakini sijaelewa
wanajamvi sherehe za kumpongeza MR & MRS sijui nani (.shishi......) tunafanyia wapi na-hamu ya kuwaonyesha shoo maalum ya Masebene ..wakati mnaendelea kukata valuu ,Tusker baridi na mdudu ..mie naendelaea na makamuzi ..