Conspiracy ya Tanzania katika harakati zake za kuwa superior nation ni ipi?

Conspiracy ya Tanzania katika harakati zake za kuwa superior nation ni ipi?

Simplicity.

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
2,636
Reaction score
1,662
Katika hali ya kawaida serikali mbalimbali duniani pamoja na their intelligent agencies zina conspiracies ambazo zina lengo la kuifanya serikali husika kupata faida over other governments, kumanipulate/kucontrol serikali zingine, kutawala, kumiliki uchumi, silaha, teknolojia au kuwa na nguvu au kuwa superior kwa namna yoyote ile.

Mfano wa conspiracies ni kama: List of conspiracy theories - Wikipedia, the free encyclopedia.

Swali langu ni kwamba serikali yetu ya Tanzania nayo inayo au inaweza kuwa na conspiracy ambayo lengo lake ni kulifanya taifa letu kuwa superior over other nations baadaye au mapema hivi karibuni?
 
Tanzania njaa tu. Mbaka tushibe ndo tutaweza ku plan complex schemes namna hiyo
 
Labda ya Zanzibar tu...Tanganyika tumeweza kuiinamisha Zanzibar kwa mwamvuli wa Muungano...
 
Katika hali ya kawaida serikali mbalimbali duniani pamoja na their intelligent agencies zina conspiracies ambazo zina lengo la kuifanya serikali husika kupata faida over other governments, kumanipulate/kucontrol serikali zingine, kutawala, kumiliki uchumi, silaha, teknolojia au kuwa na nguvu au kuwa superior kwa namna yoyote ile.

Mfano wa conspiracies ni kama: List of conspiracy theories - Wikipedia, the free encyclopedia.

Swali langu ni kwamba serikali yetu ya Tanzania nayo inayo au inaweza kuwa na conspiracy ambayo lengo lake ni kulifanya taifa letu kuwa superior over other nations baadaye au mapema hivi karibuni?
Labda tuianze sasa na Kama ilishaanzishwa ni miaka ya 1995 kupanda juu, tena kwa siri. Yetu ilikuwa ni kuunda/kuundwa kwa taifa kubwa jipya lenye nguvu za kiuchumi, kisiasa na kiteknolojia, kwa manufaa ya wakazi wake na ustawi wa hii sayari. United States of Africa....ikianzia na United States of East Africa, kote huko watz wangekuwa na say kubwa kuliko wengine. Kisiasa Tanzania ni nchi ya kusikilizwa duniani, tumejishusha wenyewe siku hizi.
 
Nikizifatilia hoja zinazotolewa na wadau hapo juu, nachoka kabisa. Nadhani hata Tanzania muijuayo si halisi kabisa, hili taifa limeharibiwa wajameni, lilikuwa na vissions na mission za uhakika, kuna baadhi ya mataifa ya Asia na South America yamekop na kupest toka kwetu, dunia inatushangaa kweli, chaajabu na wenyewe tunajishangaa tena kwa kuyabeza yote.
 
Taifa la Tanzania limekuwa Koloni la Kebya kibiasha na Kiuchumi. Poor Tanzania, soon tutakuwa koloni la Rwanda
 
Back
Top Bottom