UGONJWA WA KUKOSA CHOO KWA MUDA MREFU {CONSTIPATION}
Ugonjwaa huu kitaalam tunaita constipation
mtu hukosa choo siku tatu au mpaka wiki nzima na akipata basi ni kidogo sana na kikavu mpaka anakua akiskia maumivu
CHANZO CHA TATIZO HILI LA KUTOPATA CHOO
~tatizo hili husababishwa zaidi na ulaji mbovu wa vyakula na kutokujizoesha kwenda haja mara kwa mara pia kula vyakula vilivyokobolewa na matumizi mabaya ya dawa na magonjwa mengine pia mabadiliko ya hormone
DALILI ZA KUTOPATA CHOO
~dalili za tatizo hili ni ÷
KUPATA HOMA KALI
KUTETEMEKA KWA BARIDI
KUTUMIA NGUVU NYINGI NA MUDA MWINGI KUJISAIDIA
ULIMI KUWA NA UTANDU MWEUPE NA KUTOA HARUFU MBAYA
KUKOSA HAMU YA KULA
TUMBO KUJAA GESI
KUPATA VIDONDA SEHEMU YA NNJE YA HAJA KUBWA
Ugonjwaa huu kitaalam tunaita constipation
mtu hukosa choo siku tatu au mpaka wiki nzima na akipata basi ni kidogo sana na kikavu mpaka anakua akiskia maumivu
CHANZO CHA TATIZO HILI LA KUTOPATA CHOO
~tatizo hili husababishwa zaidi na ulaji mbovu wa vyakula na kutokujizoesha kwenda haja mara kwa mara pia kula vyakula vilivyokobolewa na matumizi mabaya ya dawa na magonjwa mengine pia mabadiliko ya hormone
DALILI ZA KUTOPATA CHOO
~dalili za tatizo hili ni ÷
KUPATA HOMA KALI
KUTETEMEKA KWA BARIDI
KUTUMIA NGUVU NYINGI NA MUDA MWINGI KUJISAIDIA
ULIMI KUWA NA UTANDU MWEUPE NA KUTOA HARUFU MBAYA
KUKOSA HAMU YA KULA
TUMBO KUJAA GESI
KUPATA VIDONDA SEHEMU YA NNJE YA HAJA KUBWA