Contact za bosi wa TIGO au ZANTEL, au ZAIN

Contact za bosi wa TIGO au ZANTEL, au ZAIN

Hujui matumizi ya internet..kwa kukusaidia kidogo nenda kwenye website yao kuna contact info....acha kubweteka!
 
Last edited by a moderator:
wewe unazo?

Shem Yo Yo JF inachekesha sana, nimeona kwenye post moja wanakupa umaarufu wa kutoa pumba hapa kwenye Forum, nimecheka sana umechanganywa na wazee wengine duu...Kazi kweli kweli!
 
Tayari nimezipata za mtu wa Tigo.. sijui za Zantel au Zain
 
Shem Yo Yo JF inachekesha sana, nimeona kwenye post moja wanakupa umaarufu wa kutoa pumba hapa kwenye Forum, nimecheka sana umechanganywa na wazee wengine duu...Kazi kweli kweli!
tehe tehe shem si unajua eti anakomwa nyani giladi.....
 
nashukuru nimepata zile contacts. Hizo za HITS, DOVETEL na TTCL nazo nikitumiwa nitashukuru za Vodacoma wakae nazo wenyewe!
 
mwanakijiji huyo bossi awe wa level gani?
 
Back
Top Bottom