Mawasiliano gani? Khaaaahmawasiliano tu mkuu
Hatariiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alikujib nitag
ya kawaida na yasiyo ya kawaidaMawasiliano gani? Khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe umezidisha!. Ni 3k. Siyo 3000k. Kubabake, awe na watu Million 3?Contacts 3000k zote za nn? Khaaaah
Hajajibu tuuπHatariiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pesa ni pesa tu wewe tuma na ya kutoleaunapokea dirham?
Ushukuriwe mkuu na mimi imenisaidia nilikua naona majina 2 tu baada ya ku backup nimepata 154.Download BACKUP & RESTORE ALL au RECOVER & BACK UP nenda setting ingia Samsung account nenda Samsung cloud back up data ingia contacts select nenda done hatimaye zitarudi number zako halafu ukifanikiwa nitumie shs. 100,000/= ππππππ
Usijali mkuu ni muhimu sote kusaidiana pale msaada unapohitajika ππππUshukuriwe mkuu na mimi imenisaidia nilikua naona majina 2 tu baada ya ku backup nimepata 154.