Container linaitajika(Dar)

Mabala21

Senior Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
139
Reaction score
89
Wadau salaam,

Linaitajika Contauner la FT 20 au 40 kwajairi ya bishara ya duka la jumla/hardware.

Naomba offer inbox.
 
Mkuu mnunuaji wa Container ninakushauri kuchukua tahadhari ya hali ya juu hasa unaponunua hizo containers mikononi mwa mtu. Hakikisha mauziano yanasimamiwa na wakili na hakikisha muuzaji ana ORIGINAL OWNERSHIP DOCUMENTS utakuja kunishukuru baadae.
 
Mkuu mnunuaji wa Container ninakushauri kuchukua tahadhari ya hali ya juu hasa unaponunua hizo containers mikononi mwa mtu. Hakikisha mauziano yanasimamiwa na wakili na hakikisha muuzaji ana ORIGINAL OWNERSHIP DOCUMENTS utakuja kunishukuru baadae.
Ahsante sana Mkuu, nitazingatia ushauri huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…