Continuous Assesments hutumika kikamilifu katika upangaji wa matokeo ya form four?

Continuous Assesments hutumika kikamilifu katika upangaji wa matokeo ya form four?

Fibonacci

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
377
Reaction score
205
Naombeni kujua kama Continuous Assesments (CA's) au maendeleo ya mwanafunzi pindi akiwa shuleni katika upangaji wa mtokeo ya kidato cha nne yanatunika? . Kama ndio, hii kwamba haimanishi wanafunzi wa shule za private hujaziwa alama nzuri (kupendelewa) na shule zao kabla alama hizo haziwasilishwa baraza (NECTA) ili tu, kusaidia wanafunzi hawa kufanya vizuri katika matokeo yao na kusaidia shule(maslahi binafsi) kwa njia isiyo
halali yaani udangayifu. Mwenye kujua hili swala, nahitaji mawazo yako tafadhali
 
I dont thnk znatumika, mi nmemaliza Makongo miaka michache iliyopita, nilikuwa nikifaulu sana masomo ya History na Geography kias kwamba kama CA ina maksi 40 bas sitopungua 35 lakin matokeo ya Necta yalivyotoka nilipata D kwa masomo hayo, maksi ambayo nadhan nimeipata kwnye Necta yenyewe.so mi naona CA haitumiki, labda waanze mwaka huu
*ni mawazo yangu tu, sio Fact*
 
Ilikuwa zamani, lakini siku hizi CA haizingatiwi sana.
 
I dont thnk znatumika, mi nmemaliza Makongo miaka michache iliyopita, nilikuwa nikifaulu sana masomo ya History na Geography kias kwamba kama CA ina maksi 40 bas sitopungua 35 lakin matokeo ya Necta yalivyotoka nilipata D kwa masomo hayo, maksi ambayo nadhan nimeipata kwnye Necta yenyewe.so mi naona CA haitumiki, labda waanze mwaka huu
*ni mawazo yangu tu, sio Fact*


Dr Ndalichako Majibu tafadhali!
 
Dr Ndalichako Majibu tafadhali!

.
Ah
kiukweli huwa hatu tabiliki, kuna wakati tuna zi angalia hizo CA lakin kwa kipindi kama hiki..
.
Walimu nao wana hasira sana mana madeni ni tatizo... Hivyo basi usije ukategemea kwamba tutaziangalia hizo CA mana mwalimu anaweza kumpa mwanafunzi asilimia 120% isivyo kawaida... Mana madeni n tatizo kubwa
.
Hivyo mock tuta iangalia sana
.
Nadhani nime eleweka...
.
Ahsante
.
jamiisms2.jpg
 
Back
Top Bottom