I dont thnk znatumika, mi nmemaliza Makongo miaka michache iliyopita, nilikuwa nikifaulu sana masomo ya History na Geography kias kwamba kama CA ina maksi 40 bas sitopungua 35 lakin matokeo ya Necta yalivyotoka nilipata D kwa masomo hayo, maksi ambayo nadhan nimeipata kwnye Necta yenyewe.so mi naona CA haitumiki, labda waanze mwaka huu
*ni mawazo yangu tu, sio Fact*
Dr Ndalichako Majibu tafadhali!