B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,443
- 3,002
Wakuu habari za saa hizi, ningependa kujua baadhi ya haki zangu kama nimesimamiswa kazi, mfano kikao cha maadili kilika tarehe 4 mwezi wa 2, ila barua ya contract termination ikaja tarehe 24/02. Je mwezi huo nitalipwa mshahara? Na pia kwenye termination ya ajira n ikitu gani kama mfanya kazi ni haki yangu kulipwa. Asante