Hawa ma dealers wanazingua mno na bei zao huwa hazifai, na wakati mwingine spea zao zinakuwa na ubora mdogo!
Kuna spea niliulizia kwa dealers wa C..TAP..AR, wakaniambia ni 4.9m + VAT, lakini nilipo agiza mwenyewe kutoka china...via alibaba...hakufika 1m hadi naishika mkononi....so, unaweza ukaona tofauti!
Jaribu kuendelea kutafuta kwenye mitandao....au wasiliana na huyu bwana MOSES MNDEME, yupo SWEDEN...yeye ana deal na kuwaagizia watu hapa TZ haya ma'heavy equipement, malory, gari ndogo na hata spea! HAna konakona....atakusaidia tu!
+467 071 455 17
+467 349 318 21