Kawaida ukifanya muamala wowote na Tigo pesa, unaletawa msg of what has transpired to confirm the transaction made. Msg hizo huwa zinabaki mle as long as hujazifuta
Ajabi conversation na Tigo pesa zote zimefutika. Nimeuliza na mwingine naye hazioni ,
Tatizo ni nini?
Ajabi conversation na Tigo pesa zote zimefutika. Nimeuliza na mwingine naye hazioni ,
Tatizo ni nini?